Thumbnail Image

Ufungaji wa uvuvi wa pweza kwa kipindi cha miezi 2 (swahili version)







Also available in:

Related items

Showing items related by metadata.

  • Thumbnail Image
    Book (stand-alone)
    Mwongozo wa Hiari wa Kuhakikisha Uvuvi Mdogo Unakuwa Endelevu Kwa Muktadha wa Uhakika wa Chakula na Kuondoa Umaskini 2019
    Mwongozo wa hiari wa kuhakikisha uvuvi mdogo unakuwa endelevu; katika muktadha wa uhakika wa chakula na kuondoa umaskini umeandaliwa kama nyongeza ya Taratibu za Kimaadili za Uvuvi zinazozingatia uwajibikaji, ambazo ziliandaliwa chini ya uratibu wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) mwaka 1995 (Code of Conduct for Responsible Fisheries CCFRF) na kukubaliwa nchi nyingi duniani. Aidha, Mwongozo huu wa hiari ni mahsusi kwa ajili ya kuangaza na kuweka taratibu zinazuhusu uvuvi mdogo. Sababu kuu iliyopelekea kuandaa Mwongozo maalumu kwa ajili ya uvuvi mdogo ni kwamba; kwa kiwango kikubwa jamii ya wavuvi wadogo imeendelea kuachwa nyuma, na umaskini katika jamii hizi umekuwa ni wa kiwango kikubwa. Hali hii ya kusikitisha inatokea wakati ambapo uvuvi mdogo huchangia nusu ya samaki wote wanaovuliwa duniani, na huajiri asilimia 90 ya wavuvi na wafanyakazi wengine katika Sekta ya Uvuvi duniani. Hivyo, imeonekana kuna umuhimu mkubwa wa kuandaa Mwongozo huu, ili kuangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili wavuvi wadogo, na kubainisha mbinu ambazo zinaweza kutumiwa katika kutatua changamoto hizo. Mwongozo unabainisha masuala yote muhimu katika mfumo mzima wa mnyororo wa thamani ikiwa ni pamoja na usimamizi wa rasilimali ya uvuvi, masuala ya maendeleo ya jamii ya wavuvi wadogo, thamani ya mazao na biashara, pamoja na umuhimu wa kujenga mazingira bora yanayoimarisha shughuli za uvuvi mdogo kwa kuzingatia masuala ya jinsia na Haki za binadamu.
  • Thumbnail Image
    Book (stand-alone)
    Mwongozo Wa Hiari Kuhusu Uwajibikaji Katika Usimamizi Wa Umiliki Wa Ardhi, Maeneo Ya Uvuvi Na Misitu Kwa Ajili Ya Upatikanaji Na Uhakika Wa Chakula Kwa Taifa 2021
    Mwongozo huu ni nyenzo ya kwanza yenye kina na ya kimataifa kuhusu usimamizi wa umiliki iliyoandaliwa kupitia mashauriano ya kiserikali. Ndani mwake mna ufafanuzi wa kanuni na viwango vilivyokubalika kimataifa kuhusu vitendo vyenye uwajibikaji katika matumizi na udhibiti wa ardhi, maeneo ya uvuvi na misitu. Kanuni zilizomo zinatoa mwelekeo wa kuimarisha sera, sheria na taratibu za kiasasi zinazodhibiti haki za umiliki; uendelezaji wenye uwazi na usimamizi bora wa mifumo wa miliki; na kuimarisha uwezo na utendaji kazi wa mashirika ya umma, mashirika binafsi ya uwekezaji, asasi za kiraia, na watu wenye maslahi katika umiliki na usimamizi wa miliki. Miongozo iliyomo humu imejadili usimamizi wa umiliki katika kiwango cha kitaifa kwa ajili ya upatikanaji wa chakula kwa uhakika, na imekusudiwa kuchangia katika upatikanaji, kwa hatua, wa chakula cha kutosha, kutokomeza umaskini, kulinda mazingira na kufanikisha maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi.
  • Thumbnail Image

Users also downloaded

Showing related downloaded files

No results found.